Zimetiririka
Ordinary Time,MarianThanksgiving
Verse 1
Zimetiririka zimetiririka,
Zimetiririka neema za Mungu
Chorus
{ Zimetiririka, neema zimetiririka, neema zimetiririka
Wote tumeinuliwa aleluya } *2n{ Majumbani mwetu (zimetiririka)
Mashambani mwetu (zimetiririka tiririka)
Familia zetu (zimetiririka) tumeinuliwa aleluya } *2
Verse 3
Tazama mimea inavyochanua,
Hizi ni neema kutoka Mbinguni
Verse 4
Tazama bahari na mawimbi yake
Vinashangilia neema za Mungu
Verse 5
Tazama wanyama wanavyopendeza
Ndege wa angani wanaburudisha
Verse 6
Mvua inanyesha jua inawaka
Kuukamilisha utukufu wake
Verse 7
Mchana na usiku vinatuongoza
Kuyafurahia majira ya mwaka
Verse 8
Mbingu zafurahi na mawingu yote
Vinashangilia neema za Mungu