SectionsExitZiliwatoka Kama Ndimi

Ziliwatoka Kama Ndimi

PentecostalExit
Chorus

{ Ziliwatokea zilizogawanyika kama ndimi

Na kukaa ndani yao } *2

Verse 2

Wakajazwa Roho Mtakatifu,

Wakasema kwa lugha lugha mpyan

Verse 3

Wakanena maneno makuu ya Mungu

Wakasifu jina lake takatifu

Verse 4

Yatupasa nasi sote tuhbiri

Kama mitume walivyohubiri