SectionsExitZakayo Alimwambia Yesu

Zakayo Alimwambia Yesu

Ordinary Time,MarianExit
Verse 1

Siku moja Zakayo alimwambia Yesu

Bwana sikiliza mimi nitawapa

Masikini nusu ya mali yangu yote

Bwana sikiliza mimi nitawapa

Masikini nusu ya mali yangu yoten

Verse 2

Kama nimemdhulumu mtu nitamrudishia mara nnen(kiasi hicho) nitamrudishia mara nne

Verse 3

Yesu akamwambia leo wokovu

Umefika katika nyumba hii

Kwa vile huyu pia ni wa ukoo

Ni wa ukoo wa Abrahamu

Verse 4

Kwa maana mwana wa mtu

Amekuja kutafuta

Na kuokoa kilichopotea

Na kuokoa kilichopotea