Verse 1
Zaeni matunda mema, zaeni matunda yale
Zaeni yenye baraka, zaeni ya heri
Chorus
Bwana akiyapokea, yatabarikiwa vyema
Zaeni matunda mema, zaeni ya heri
Verse 3
Safisha mwenendo wako, safisha matendo yako
Safisha na Bwana Yesu, safisha yote
Verse 4
Fanyeni kazi kindugu, fanyeni kazi kwa bidii
Fanyeni na Bwana Yesu, fanyeni na yote
Verse 5
Tolea matendo yako pamoja na moyo wako,
Naye Bwana Mungu wako atakubariki
Verse 6
Baraka za Mungu Baba, baraka za Mungu mwana
Na za Roho Mtakatifu ziwe nanyi nyote