SectionsEucharistYumo Humu Mwokozi

Yumo Humu Mwokozi

Ordinary Time,MarianEucharist
Verse 1

Yumo humu, Mwokozi Yesu,

Kwenye mzabibu, na ngano tamu

Ni mpole ni mwema ni uziman

Chorus

n{ Waumini (haya), simameni,

Polepole (tena), kwa imani,

Jongeeni karamuni (mpate)nmpate kumwonja Mwokozi Yesu } *2

Verse 3

Ekaristi ni jina lake,

Pamoja nasi, Mungu mwenyewe,

Ndani yetu nasi ndani yaken

Verse 4

Alitoa, jioni ile,

Kwa kumbukumbu, yake milele,

Tule tunywe wote tuokoke6.

Verse 5

Tugeuze, maisha yetu,

Yakafanane, na meza hii

Huruma, upendo msamaha

Verse 6

Alisema, twaeni mle,

Twaeni mnywe kwa ukumbusho

Ni mpole, ni mwema, ni mzima

Verse 7

Ekaristi, katuachia,

Chakula bora, tufike kwake,

Ni mpole, ni mwema, ni mzima