Verse 1
Mlichofuata hapa mmepotea,
Mnayetafuta humu hayumo tena,
Ikumbukeni kauli yake yeye imetimia leo mapema onan
Chorus
Galilaya ndiko aliko
Amekwenda
Galilaya ndiko aliko
Amefufuka,
Tuimbe kafufuka leo * 2
Ametangulia,
Galilaya Galilaya Galilaya
Verse 3
Waliowekwa doria wametimua mbio siwaoni tena
Na utukufu na ukuu una yeye Bwana hata milele
Verse 4
Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake ni za milele