Chorus
Yakija mawimbi hata dhoruba ikizidi
Nakanyaga maji nasogea Bwana Yesu
Upepo mkali hata bahari ichafuke
Nakanyaga maji nasogea Bwana Yesu
Verse 2
Ni yeye Yesu alitembea juu ya maji (sikia)
Akamuita Petro ashuke akamfuate
Na hata Petro alipojawa na wasiwasi (sikia)
Yesu akawa pamoja naye na kutulia
Verse 3
Nami ninayaacha niyasafiri nayo (sikia)
Nashuka nikamfuate Yesu niende naye
Nijapopatwa na misukosuko katikati (sikia)
Sitateteleka kwani Yesu yu pamoja nami
Verse 4
Nitayatimiza yote atakoyonipa
Yesu ni wangu nami ni wa Yesu najivunia