SectionsExitYesu Wangu Niokoe

Yesu Wangu Niokoe

LentExit
Chorus

Yesu wangu niokoe,n{ Ulimwegu nilimo ni wa mateso

Nishike mkono wangu Bwana niokoe

Ulikuja duniani kwa wadhambi,

Nitakase kwa damuyo Bwana nitakate

Bwana nakukimbilia } *2

Verse 2

Nionyeshe uso wako uso mkunjufu, nisamehe dhambi,

Nakusihi Mwokozi, Bwana unisikie

Verse 3

Nimefanana na mwana mwana mpotevu, dhiki na karaha

Vimenisonga sana Bwana unisikie

Verse 4

Wewe ndiwe ngome yangu ngao yangu tumaini langu

Ninakutegemea Bwana unisikie

Verse 5

Roho yangu mwili wangu vyote ni vyako ndivyo ulivyoumba

Viimarishe Bwana, Bwana unisikie

Verse 6

Mungu Baba Mungu mwamba Mungu mkombozi

Mungu wa mapaji, Utatu Mtakatifu usifiwe milele