Verse 1
Yesu ni tumaini langu, tarajio letu
Yesu ni tumaini langu, maishani mwangu
Chorus
Oh! Maishani mwangu huniongoza
Tena tegemeo letu kutukomboan
Verse 3
Nitayapanua mawazo, niweze kuelewanyale mafundisho yake, aliyotufundisha
Verse 4
Ee Roho Mtakatifu, tuwezeshe kuomba
Tufuate Mwokozi Yesu kiongozi mwema
Verse 5
Kwenye shinda na furaha, Bwana utujalie
Kuona mapenzi yako, kwa macho ya imani