Yesu Ni Mwangaza
Ordinary Time,MarianBible Procession
Verse 1
Ndipo ukatema mate, aridhini, ukalifanya tope, mkononi
Ukampaka kipofu , ma-choni, macho yakafunguka, akaona,
Na mimi ni kipofu, nifumbue, macho ya roho yangu, kwa maana
Chorus
{n{ / s/ Mwangaza ni wewe, Mwokozi ni wewe
Mwalimu ni wewe, Kiongozi ni wewen/ w / Ni wewe mwangaza na ni wewe Mwokozi
Ni wewe mwalimu na ni wewe kiongozi } *2 Yesun} *2
Verse 3
Ukamshusha kutoka, kwenye mti, Yule mtu mfupi, wa ushuru
Ukala nyumbani mwake, Zakayo, na ukamfundisha, kugeuka
Naye akakusikia, mwalimu, kageuza mwenendo, kwa maanan
Verse 4
Naomba niongoze, ee Yesu, nibadili mwenendo, nigeuke
Njia inipotoshayo, niiache, uniponye usugu, wa moyoni
Dhambi niirudiayo, niishinde, nifundishe niweze, kwa maana