Yesu Nashukuru
Ordinary Time,MarianThanksgiving
Chorus
Yesu nakushukuru, ( asante ) *4n{ Umenilisha, asante, umeninywesha, asante,
Umenipenda, asante, umenilinda, asante } *2
Verse 2
Ee Bwana wangu nitakushukuruje,
Kwa pendo lako lisilo na kipimo,
Unanipenda Bwana nasema asante, Bwana,
Verse 3
Umenitunza kwa msingi wa kweli,
Naburudika kwa wingi wa divai,
Unanipenda Bwana nasema asante, Bwana,
Verse 4
Kwa pendo lako wanilinda salama,
Kwa wema wako ninapata fanaka,
Unanipenda Bwana nasema asante, Bwana,
Verse 5
Ee Yesu wangu nitakushukuruje,
Kwa ukombozi na zawadi ya mbingu,
Unanipenda Bwana nasema asante, Bwana,