SectionsThanksgivingYesu Nashukuru

Yesu Nashukuru

Ordinary Time,MarianThanksgiving
Chorus

Yesu nakushukuru, ( asante ) *4n{ Umenilisha, asante, umeninywesha, asante,

Umenipenda, asante, umenilinda, asante } *2

Verse 2

Ee Bwana wangu nitakushukuruje,

Kwa pendo lako lisilo na kipimo,

Unanipenda Bwana nasema asante, Bwana,

Verse 3

Umenitunza kwa msingi wa kweli,

Naburudika kwa wingi wa divai,

Unanipenda Bwana nasema asante, Bwana,

Verse 4

Kwa pendo lako wanilinda salama,

Kwa wema wako ninapata fanaka,

Unanipenda Bwana nasema asante, Bwana,

Verse 5

Ee Yesu wangu nitakushukuruje,

Kwa ukombozi na zawadi ya mbingu,

Unanipenda Bwana nasema asante, Bwana,