Yesu mwema najitolea kwako
Kwa leo hii na siku zote
Nafsi yangu na moyo wangu wote
Heri kweli, heri kweli
Heri kweli raha ya uwingu x2n
Ndani mwangu umekuja daima
Kuwa nami ni upendo wako
Ewe mpenzi mwenye utamu mwingi
Ni mapendo, ni mapendo
Ni mapendo ya moyo wako x2n
Nitaweza kukurudishia nini
Kwa wema huu na pendo lako
Roho yangu umeifadhilia
Nikupende, nikupende
Nikupende ni tamaa yangu x2n
Weka Rabi katika roho yangu
Wema wako na unyenyekevu
Na pendo kuu fadhila na amani
Niongoze, niongoze
Niongoze katika amani x2
Oh! Maishani mwangu huniongoza
Tena tegemeo letu kutukomboa
Nitayapanua mawazo, niweze kuelewanyale mafundisho yake, aliyotufundishan
Ee Roho Mtakatifu, tuwezeshe kuomba
Tufuate Mwokozi Yesu kiongozi mweman
Kwenye shida na furaha, Bwana utujalie
Kuona mapenzi yako, kwa macho ya imani