Chorus
Yesu mwema anateswa msalabani
Analia, anasikitika juu ya dhambi yetu
Verse 2
Yesu asali mlimani
Jasho la damu linamtoka (kweli)
Verse 3
Yesu ashukwa na Wayahudi
Ili ateswe bila hatia (kweli)
Verse 4
Alipofika kwa Pilato
Kasingiziwa maovu mengi (kweli)
Verse 5
Walimpiga mijeledi
Taji la miiba awekelewa (kweli)
Verse 6
Msalaba abebeshwa
Kwa upendo apokea (kweli)