SectionsExitYesu Mwema Anateswa

Yesu Mwema Anateswa

LentExit
Chorus

Yesu mwema anateswa msalabani

Analia, anasikitika juu ya dhambi yetu

Verse 2

Yesu asali mlimani

Jasho la damu linamtoka (kweli)

Verse 3

Yesu ashukwa na Wayahudi

Ili ateswe bila hatia (kweli)

Verse 4

Alipofika kwa Pilato

Kasingiziwa maovu mengi (kweli)

Verse 5

Walimpiga mijeledi

Taji la miiba awekelewa (kweli)

Verse 6

Msalaba abebeshwa

Kwa upendo apokea (kweli)