SectionsEntranceYesu, Mwana Wa Mungu

Yesu, Mwana Wa Mungu

Lent,LentEntrance
Chorus

Yesu, Mwana wa mungu (*2),nleo amefufuka. Piga vigelegele (*2),nleo amefufuka.

Verse 2

Yesu, Mwana wa Mungu,

Kweli amefufuka.

Ahadi yatimia, mzima amefufuka.

Verse 3

Kristu mshindaji mkubwa, ametupatanishanna Babaye mbinguni, kwa damuye azizi.

Verse 4

Kristu Mwana-kondoo, amechinjwa sadaka.

Tu-ile karamuye, tuimbe aleluya.

Verse 5

Kristu mchungaji mwema, alitoa maishankwa ajili ya kondoo, mzima amefufuka

Verse 6

Kristu aliuawa, katika udhaifu.

Anaishi daima, Kwa nguvu yake Mungu.

Verse 7

Nendeni duniani, kuhubiri Injili.

Wote wabatizwao, mbingu wataurithi

Verse 8

Nitawahubiria, ndugu zangu daima

Jina lako tukufu, nitakusifu sana.

Verse 9

Leo ndiyo sikukuu, ilifanywa na Mungu.

Umefunguka mbingu, Kwa ushindi wa Yesu