SectionsExitYesu Msalabani Alipotundikwa

Yesu Msalabani Alipotundikwa

LentExit
Chorus

{ Yesu msalabani, alipotundikwa

Hakuwa na dhambi, mkombozi wetu } *2

Dhambi zetu nyingi sana, ndizo zilimtesa

Hakuwa na kosa, mkombozi wetu

Verse 2

Aliteswa msalabani kwa ajili ya ukombozi wetu sisi

Verse 3

Akasubulibiwa kwa ajili ya ukombozi wetu sisi