Chorus
Yesu Kristu ni mfalme-
Ni mfalme wa wafalme, Ni Bwana wa mabwana
Utawala wake si wa dunia hii [Dunia hii]
Utawala wake ni wa Mbinguni
Verse 2
Utawala wake Yesu ungekuwa ni wa dunia hii (kweli)
Hakika angekuwa na jeshi lake la kumlinda
Verse 3
Utawala wake Yesu ungekuwa ni dunia hiin(kweli) Hakika angekuwa na serikali ya kuiongoza
Verse 4
Utawala wake Yesu ungekuwa ni wa dunia hiin(kweli) Kamwe asingekufa kwa ajili yetu sisi wanadamu