Verse 1
Yesu kanikuta jangwani, akaniambia, nenda huko Yerusaleme
Yesu kanikuta gizani, akasema, kimbilia Yerusaleme
Chorus
Mimi ni kipofu ni mauti (mimi ni mauti)
Mimi ni kipofu sioni (mimi sioni)n{ Kulikuwa giza, kukapambazuka
Nikamwona Bwana Bwana wangu }*2
Verse 3
Natamani mji ule, Yerusaleme kuna nuru kuna raha
Dhambi zangu matendo yangu, ni maovu, tazameni msalabanin
Chorus
Upindo wa nguo (nguo yako safi)
Upindo wa nguo (nguo yako nzuri)n{ Uniguse moyo, moyoni mwangu
Nitaimba sifa sifa zako } *2
Verse 5
Watakatifu wa moyo, tumsifuni, Bwana mwenye nchi na mbingu
Twende huko nchi ya mbali, ya Kanaani ndiko tutaishi milele
Chorus
{ Fimbo yake Musa ilituokoa
Fimbo yake Musa, ilituongozan{ Nchi ile ya Misri (nchi ya farao)
Tulimwona Bwana mwenye enzi } }*2