SectionsExitYesu Amefufuka

Yesu Amefufuka

EasterExit
Verse 1

Yesuamefufuka *2 ametoka kaburini

Haya shangilia *2 ametoka kabrurini *2

Verse 2

Shetani, - ameshindwa *2 hana lake duniani

Haya shangilia *2 hana lake duniani *2n

Verse 3

Yesukatokea *2 Wanafunzi wake wote

Haya shangilia *2 wanafunzi wake wote*2

Verse 4

Amani iwe kwenu*2 mpokee roho yangu

Haya shangilia *2 mpokee roho yangu *2

Verse 5

Bwana Yesu kapaa *2, sasa yu juu mbinguni

Haya shangilia *2 sasa yu juu mbinguni*2

Verse 6

SasaKristu huketi *2 kuumeni kwa Baba

Haya shangilia *2 kuumeni kwa Baba *2