SectionsExitYesu Alia Msalabani

Yesu Alia Msalabani

LentExit
Verse 1

Yesu alia msalabani. Asikitika juu ya dhambi zetu

Asulubiowa asiyekosa kwamba yeye ni mosaji

Chorus

Ee mwanadamu lipi ambalo linalonipasa kuwatendea

Ambalo sikuwatendeeni, hata ikanipasa msalaba

Verse 3

Magonjwa yote aliyaponya, wafu nao aliwafufua

Kundi la watu aliwaponya, lipi alilokosa

Verse 4

Watu wa Mungu Bwana alia asikitika juu ya dhambi zenu

Asulubiwa asiyekosa kwamba ni mkosaji

Verse 5

Wana wa Mungu, Bwana alia, asema nyinyi mwamsulubisha,

Msipobeba misalaba yenu kwani nyinyi m wakosaji

Verse 6

Tazama Bwana akulilia, akuita ndipo akuokoe

Tazama haya mapenzi yake Bwana hayana mwisho