SectionsExitYesu Akawaambia

Yesu Akawaambia

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

n{Yesu akawaambia, amini nawaambieni

Msipoula mwili wake mwana wa Adamu,

Na kuinywa damu yake hamna uzima ndani yenu } * 2

Verse 2

Yule aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu

Anao uzima wa milele

Verse 3

Chakula nikitoacho ndio mwili wangu

Kuleni mpate kuokoka

Verse 4

Hiki ni chakula kweli pia na damu yangu

Vilivyoshuka kutoka Mbinguni