Yesu Akasema
LentThanksgiving
Chorus
Yesu Akasema, amini nawaambia,nmmoja wenu anayekula nami atanitasaliti *2
Wakahuzunika, wakaanza kusema,nje ni mimi je ni mimi ni mimi Bwana (Yesu)
Akawaambia ni mmoja wa hao thenasharanambaye achovya nami katika kikombe *2
Verse 2
Lakini ole wake mtu yule anayemsaliti mwana wa Adamu
Ingekuwa heri kwake kama asingelizaliwa
Verse 3
[v] Nao walipokwisha kuila,n[w] Walipanda mlima wa Mizeitunin