SectionsExitYesu Akalia

Yesu Akalia

LentExit
Chorus

Yesu akalia kwa sauti kubwa,n{ Akasema,

Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu } *2

Verse 2

Alipokwisha kusema hayo, akakata roho

Yule akida alipoona hayo, akasema

Huyo hakika alikuwa mwana wa Mungu

Verse 3

Na makutano yote ya watu, waloshuhudia

Wakafadhaika wakaenda zao, wakiomba

Wakapigapiga vifua kuomba toba

Verse 4

Na wote waliojuana naye, waloandamana

Wakimfuata toka Galilaya, kwa pamoja,

Wakasimama wakitazama mambo hayo.