Chorus
Ye Taata, Oyo ye Taata…x2
Ye Taata wange omulungi Omutibwa x2
Ye Taata.
Chorus
My Father, You are my Father…x2
You are my Lord you are My God
You are my King…x2 my Father.
Chorus
Ee Baba, wewe ni Baba…x2 wewe ni
Baba, Baba yetu wa mbinguni x2
Verse 4
Kazaliwa maskini kwenye zizi Marianakamfunika kwa nyasi kwa ‘jili yetunalishuka kwenye cheo (Ee Baba) asantensana ewe Yesu wa mbinguni Ee Baba.
Verse 5
Alishikwa, akapigwa, akateswa na matenakatemewa Kwa uso kwa ‘jili yetu hivyonvyote alikubali (Ee Baba) kwa ‘jili yetunalidungwa, ili nipone Ee Baba
Verse 6
Kafufuka akapaa juu mbinguni akatuma
Roho Mtakatifu kwetu atuwezeshankusamehe na kumwabudu (Ee Babanatuwezesha kuwa naye, maishani Ee Baba.