SectionsExitWote Wakajazwa Roho

Wote Wakajazwa Roho

PentecostalExit
Chorus

{ Wote wakajazwa, Roho Mtakatifu

Wakisema matendo makuu ya Mungu aleluya } *2

Verse 2

Kama Roho Mtakatifu alivyowajalia,

Petro akasema kwa sauti kubwa

Verse 3

Watu wa Uyahudi, na ninyi wote

Jueni jambo hili mkasikilize

Verse 4

Tubuni kila mmoja mkabatizwe

Nanyi mtapokea Roho Mtakatifu

Verse 5

Wengi walidhihaki na kusema

Wa-melewa kwa nyimbo mpya

Verse 6

Yesu huyo Mungu alimfuata

Na sisi sote tu mashahidi wake