Chorus
{ Wewe Petro, nakwambia, utanikana mara tatu
Kabla ya jogoo kuwika, wewe Petro utanikana } *2
Verse 2
Simoni Petro akamwambi, Bwana unakwenda wapi
Yesu akamjibu, niendapo huwezi kunifuata sasa
Lakini utanifuata baadaye
Verse 3
Petro akamwambia, Bwana,
Kwa nini mimi siwezi kukufuata sasa
Mimi nitatoa uhai wangu kwa ajili yako
Verse 4
Yesu akamjibu, je wewe utautoa uhai wako kwa ajili yangu
Amin amin nakuambia wimbi hatawika
Hata wewe utakapokuwa umenikana mara tatu