SectionsExitWewe Petro Utanikana

Wewe Petro Utanikana

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

{ Wewe Petro, nakwambia, utanikana mara tatu

Kabla ya jogoo kuwika, wewe Petro utanikana } *2

Verse 2

Simoni Petro akamwambi, Bwana unakwenda wapi

Yesu akamjibu, niendapo huwezi kunifuata sasa

Lakini utanifuata baadaye

Verse 3

Petro akamwambia, Bwana,

Kwa nini mimi siwezi kukufuata sasa

Mimi nitatoa uhai wangu kwa ajili yako

Verse 4

Yesu akamjibu, je wewe utautoa uhai wako kwa ajili yangu

Amin amin nakuambia wimbi hatawika

Hata wewe utakapokuwa umenikana mara tatu