Chorus
Wewe ndiwe Petro, wewe ndiwe Petro
Na juu ya mwamba huu, nitalijenga kanisa langun{Wala milango (wala milango) ya kuzimu (ya kuzimu) haitalishinda } *2
Verse 2
Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa Mbinguni
Na lolote utakalolifunga dunia litakuwa limefungwa Mbinguni
Verse 3
Na lolote utakalo fungua duniani litakuwa limefunguliwa Mbinguni