SectionsExitWewe Bwana Wewe Bwana

Wewe Bwana Wewe Bwana

Ordinary TimeExit
Chorus

Wewe Bwana, wewe Bwana

Wewe Bwana nifadhili

Verse 2

Wewe ni Mungu wangu

Unionee huruma

Verse 3

Wewe ee Bwana u mwema

U tayari kusamehe

Verse 4

Wewe u mwingi wa fadhili

Kwa wote wakuombao

Verse 5

Usikie sala yangu

Uangalie kilio cha ombi langu

Verse 6

Wewe ni Mungu wa rehema

Wewe ni mvumilivu

Verse 7

Uniokoe mimi mtumishi wako

Ninayekutegemea