SectionsExitWewe Bwana Nguvu Zangu

Wewe Bwana Nguvu Zangu

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Wewe Bwana nguvu zangu nakupenda sana *2

Bwana - ni jabali langu (na boma)

Na boma langu, boma na Mwokozi wangu

Verse 2

Mungu wangu Mwamba wangu ninayemkimbilia

Ngao pembe boma ya wokovu wangu

Nitamwita Bwana asitahiliye kusifiwa.n

Verse 3

Bwana ndiye aliye hai na atukuzwe Mungu,

Ampa mfalme ampa mfalme wake mkuu

Amfanyia fadhili masiha wake.n