Chorus
Wewe Bwana nguvu yangu nakupenda sana wewe
Bwana ni jabali langu ni jabali na boma langu na Mwokozi wangu
Verse 2
Mungu wangu Mwamba wangu ninayekukimbilia
Ngao yangu na pembe ya wokovu wangu na ngome yangu
Verse 3
Nitamwita Bwana astahiliye kusifiwa
Hivyo nitaokoka na adui zangu
Verse 4
Bwana ndiye aliye hai na atukuzwe Mungu wa wokovu wangu
Ampa wokovu mkuu amfanyia fadhili masihi wake