Chorus
Ukiona wawili wakitembea pamoja,nhao kweli wameamua waishi pamoja.
Kweli hawezi tembea pamoja,lnhawajakubaliana;nkweli (hawa, wamekubaliana waishi pamoja kwa upendo *2)
Verse 2
Tunamuona huyu ndugu, wameshikana na huyu dada;nwakitembea pamoja, (unyo unyo unyo unyo),nhawa kweli Bwana na Bi Arusi.
Verse 3
Mungu Baba awajalie, maisha mema katika ndoa;nwapendane siku zote, (pendo pendo pendo pendo),nvile wewe wpenda kanisa.
Verse 4
Ndugu mpende mke wako, vile Yesu apenda kanisa;nnawe dada mtii, (mume mume mume wako) mjenge familia pamoja.
Verse 5
Wape watoto Ee Mungu, kama pendo lako kwao;nnao waimbe nyimbo nzuri,(ti ri ri ri ri ri ri ri ri),nwakusifu milele yote.