SectionsOffertoryWaumini Tuwe Na Juhudi

Waumini Tuwe Na Juhudi

MarianOffertory
Chorus

Waamini tuwe na juhudi kulijenga kanisa letu *2n{ Tutoe kwa ukarimu, sehemu ya mali yetu

Aliyotujalia Mwenyezi Mungu } *2

Verse 2

Waumini tuwe tayari daima kujitolea kwa hali na mali

Na kwa ukarimu sote tulijenge kanisa letu

Verse 3

Waumini amkeni tuwajibike kulijenga hekalu la Mungu

Ndiyo nyumba ya sala na ibada takatifu

Verse 4

Kanisa litajengwa na sisi wenyewe, kwa hivyo waumini

Tufanye juhudi kutoa michango yetu