SectionsExitWaumini Tutaitwa

Waumini Tutaitwa

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

 Waumini tutaitwa (tutaitwa majina)n Waumini tutaitwa (tutaitwa )n Waumini tutaimba, tutaimba na Yesu *2n Aleluya (kweli) tutaimba (kwa shangwe)n Aleluya milele yote (yote)n Tukiwa naye Yesu uso kwa uso tutashangilia *2

Verse 2

Moyo wangu *2 umtukuze (tukuze yeye)

Moyo wangu umuimbie, (moyo wangu *2)

Moyo wangu umuabudu yeye mwenye adili *2

Verse 3

Wanaheri *2 wanaokwenda (kwenda kwa Yesu)

Ili Yesu awasamehe, (ili Yesu ili Yesu)

Siku Bwana atarudi, watafunguliwa *2n

Verse 4

Jitahidi*2 ukahakikishe (kishe ya kwamba)

Tayari umekubaliwa (tayari tayari)

Kuingia au kufika lango Yerusalemu *2