Watu Wote

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,EasterEucharist
Verse 1

Watu wote waimba, Halleluiah Hosanna

Yesu amezaliwa, Mwokozi wa dunia,

Mwokozi wa yatima, Mwokozi wamataifa,

Mwokozi wa wajane, Mwokozi wa wagonjwa

Chorus

Hosanna halleluiah, halleluiah hosanna

Verse 3

Mwimbieni Bwana, Halleluiah Hosanna

Kelele za shangwe, wakina baba waimba,nwakina mama waimba, watoto wotenwaimba, vijana wote waimba,

Yesu amefufuka

Chorus

Hosanna halleluiah, Halleluiah hosanna

Verse 5

Enyi watu wote, mpigieni Mungu kelele zanshangwe, pigeni makof, pigeni kinandannyimbo za furaha,nnyimbo za zaburi

Chorus

Hosanna halleluiah, Halleluiah hosanna

Verse 7

Heri walio maskini, heri wenye huzuninheri wenye upole, heri wenye njaa, herinwenye rehema, heri wenye moyo saf,nheri wenye kiu

Chorus

Hosana Halleluiah, Halleluiah Hosanna

Verse 9

Sisi sote twaimba, Yesu ni Bwana Mwumbanwa dunia, Mwumba wa mbinguni, Mfalmenwa amani, Mfalme wa upendo,

Mfalme wa furaha

Chorus

Hosanna Halleluiah, Halleluiah hosanna.

Verse 11

Yesu ni Bwana, Yesu ni Mungu, Yesu ni

Mfalme, Yesu ni Baba, Yesu ni rafki Yesunni mponyaji, Yesu ni Mkombozi

Chorus

Hosanna Halleluiah, Halleluiah hosanna.

Verse 13

Mungu Baba Halleluiah Halleluiah

Hosanna, Mungu Mwana Halleluia

Mungu Roho Halleluia, Mungu Moja

Halleluia, Halleluiah Hosana,