SectionsExitWatoto Wa Mayahudi

Watoto Wa Mayahudi

LentExit
Chorus

Watoto wa Mayahudi walimlaki Bwana

Wakiyachukua matawi ya mizeituni

Wakipiga kelele wakiseman(Hosanna *2 juu Mbinguni )*2

Verse 2

Dunia ni ya Bwana na vitu vyote vilivyomo

Dunia nzima na watu wote waliomo

Kwa maana yeye ameisimika juu ya bahari

Akaithibitisha juu ya mito

Verse 3

Inueni vichwa vyenu, enyi malango

Inukeni, enyi malango ya kale

Mfalme wa utukufu apate kuingia

Ni nani mfalme wa utukufu?

Bwana mwenye nguvu na uhodari

Bwana aliye hodari katika vita

Verse 4

Inueni vichwa vyenu enyi malango

Inukeni enyi malango ya kale

Mfalme wa utukufu apate kuingia

Ni nani mfalme wa utukufu?

Bwana wa majeshi

Yeye ndiye mfalme wa utukufu

Verse 5

Atukuzwe Baba na mwananna roho mtakatifu

Kama mwanzo na sasa na siku zotenna milele. Amina