Chorus
{Wateule wa Bwana, Karibuni mezani pake, njooni
Bwana awaalika enyi wenye moyo safi} *2n
Chorus
n{Amewaandalia, leo, karamu takatifu
Mwili na damu yake chakula safi cha roho} *2
Verse 3
Kwanza tuzitakase nafsi zetu wenyewe
Tukisha kutakasa, tuje mbele zaken
Verse 4
Karibuni mezani, Bwana awaalika
Kwenye karamu yake, enyi wenye moyo safin
Verse 5
Na tule mwili wake, na tunywe damu yake
Ndicho chakula bora, cha rohoni karibuni