SectionsExitWastahili Kusifiwa

Wastahili Kusifiwa

Ordinary TimeExit
Chorus

{Wastahili, wastahili kusifiwa ee Bwanankusifiwa na kutukuzwa na viumbe vyako }*2n

Chorus

Mbingu na dunia zimejaa sifa zako, sifa zako ee Bwana *2n{Pokea masifu ya viumbe vyako - uhimidiwe milele aleluya

Bwana wa mabwana - uhimidiwe - uhimidiwe milele aleluya }*2

Verse 3

Malaika mbinguni wanakuhimidi wewe wakusifu milele, ee Bwana

Verse 4

Milima na mabonde, miti yote ya porini vyakusifu milele, ee Bwanan

Verse 5

Wanyama wa porini na wanyama wafugwao wakusifu milele, ee Bwana

Verse 6

Samaki baharini nao ndege wa angani wakusifu milele, ee Bwana