SectionsExitWastahili Bwana

Wastahili Bwana

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Wastahili Bwana, wastahili Bwana,nulikufa msalabani niokolewenwastahili Bwananwastahili Bwana wastahili Bwana

Ulibeba mizigo yangu sasa ni hurunwastahili Bwana

Verse 2

Uliacha utukufu wako, ukaishi kati yetunkwa mapendo ulipatwa na simanzi,nulinifya wastahili Yesu!

Verse 3

Uliwekwa kaburini Bwana, ukafufukanwewe Bwana wangu ulipaa juu mbinguninna watawala, nakusifu yesu!