Wakuabudiwa

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

Wakuabudiwa, wakuheshimiwa ni wewe

Mungu wakupewa sifa, na utukufu,nni wewe Mungu Mungu mwenye nguvu,nwastahili heshima zote hakuna mwinginenwa kulinganishwa na wewe Mungu x2

Verse 2

Umesema wewe, jina lako liko liliko ninwe Mungu unafanya mambo yaliyo juunya fahamu zetu Mungu ukisema ndiyo,nnani awezaye kupinga? hakuna wewenunatupa kushinda na zaidi ya kushindanunatupandisha utukufu hadi utukufu x2

Verse 3

Uzima wetu uko mikononi mwako Mungununawapa nguvu, wanyonge na wadhaifu

Mungu unawanyeshea mvua wemanna waovu mungu wanadamu nani wankulinganishwa na wewe nani wenye nguvunwa kusimama mbele yako Mungu x2