Chorus
Wachungaji wakaenda kwa harakanwakamkuta Maria na Yosefu (na yule)
Mtoto mchanga amelala amelala horini
Verse 2
Malaika akawaambi, ninyi,nmsiogope nawaletea habari njema
Verse 3
Ya furaha kuu itakayokuwankwa watu wote Mwokozi wenu amezaliwa
Verse 4
Katika mji wa Daudi, leo,namezaliwa Mwokozi ndiye Kristu Bwana