Chorus
Waambieni watu walio na moyo wa hofu x2n(Jipeni moyo, msiogope (ogope)n[kwa maana]. Tazama Mungu wenu nakujankuwaokoa nyinyi ) x2
Verse 2
Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu (Nanfanyeni imara magoti yaliyolegea) x2n
Ndipo macho ya vipofu yatafunguliwan(Na masikio ya viziwi yatazinduliwa) x2n
Ndipo na kilema atarukarukan(Na ulimi wake bubu ndipo utakapoimba ) x2n
Na katika nyika maji yatabumbujika,n(Na nchi yenye kiu itakuwa chemichemi) x2