SectionsExitViungo Vya Kanisa

Viungo Vya Kanisa

Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Kama mwili wote ungekuwa jicho,

Mwili wote ungekuwa jicho,

Je, je, sikio lingekuwa nini,

Mwili wote ungekuwa ni sikio,nwote ungekuwa ni sikio,

Je, je, mtu angewezaje wezaje kunusa

Mikono haiwezi kuiambia miguu haifanyi kazi

Tumbo nalo litaishi vipi basi mdomo nao ukigoma

Hilo ni kanisa,

Linahitaji jumuiya na moyo wa kujitolea,

Kuzitoa sadaka zetu hata pia fungu la kumi,

Viungo vya kanisa.

Verse 2

Viungo vya kanisa letu ni kujitolea

Kwa hali pia nazo mali kanisa liendelee

Verse 3

Daktari hawezi kuwa bora kuliko mwalimu,

Sote tushirikiane kwa michango na mali

Verse 4

Viungo vya kanisa lote kuungana jumuiya

Kusali kusaidiana kwa walio masikinin