Chorus
Kama mwili wote ungekuwa jicho,
Mwili wote ungekuwa jicho,
Je, je, sikio lingekuwa nini,
Mwili wote ungekuwa ni sikio,nwote ungekuwa ni sikio,
Je, je, mtu angewezaje wezaje kunusa
Mikono haiwezi kuiambia miguu haifanyi kazi
Tumbo nalo litaishi vipi basi mdomo nao ukigoma
Hilo ni kanisa,
Linahitaji jumuiya na moyo wa kujitolea,
Kuzitoa sadaka zetu hata pia fungu la kumi,
Viungo vya kanisa.
Verse 2
Viungo vya kanisa letu ni kujitolea
Kwa hali pia nazo mali kanisa liendelee
Verse 3
Daktari hawezi kuwa bora kuliko mwalimu,
Sote tushirikiane kwa michango na mali
Verse 4
Viungo vya kanisa lote kuungana jumuiya
Kusali kusaidiana kwa walio masikinin