SectionsExitUzuri Wa Kifo

Uzuri Wa Kifo

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Basi ndugu zangu, hatimaye imetosha

Acheni kunung'unika kuhusu kifo

Jitayarisheni ili mfe kifo chema

Hiyo hekima ya kweli na ucha Mungu kamili

Kifo ni zawadi ya upendo toka kwa Mungu

Nacho kimeandaliwa kuivuka dunia chungu

Ibada na dini zenu ni upuuzi mtupu

Kama mwisho wake siyo kumfikia Mungu

Lakini hamuwezi kumfikia Mungu

Isipokuwa kwa njia hii ya kifon

Verse 2

Dhambi ya Adamu ilimfanya Adamu,nakajificha mbali na uso wa Mungu

Akapewa kifo,nkusudi roho yake irudi karibu na Mungu milelen

Verse 3

Kifo kilibeba maana yake halisi,nalipoinuliwa Mwokozi wa watu

Akashinda kifo,nkusudi watu wake baada ya kifo warudi kwa Mungu

Verse 4

Kama hampendi, taabu za ulimwengu,nkwa nini mwaogopa kujitayarisha

Kupokea kifo,nkusudi muiage dunia mpokee raha ya milele

Verse 5

Tofautisheni, kifo nayo mauti,nmauti humpeleka mwenzetu kuzimu

Ingawaje kifo,nhumtenganisha mwenzetu na taabu za dunia hii