SectionsExitUzuio Wa Umeme

Uzuio Wa Umeme

Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Uzuio wa umeme, mlinzi wa Kimasai

Mbwa mkali tunguri na silaha za kisasanhakika, hazifai kitu, kweli hazifai kitu

Bwana amtumapo mjumbe kuchukua roho yako

Verse 2

Wako wapi, wako wapi waliowahi kutikisa dunia?

Wako wapi walioita miungu na dunia?

Na hakuna hata mmoja wao aliyewahi kujikinga

Bwana alipomtuma mjumbe kumchukua?

Verse 3

Wako wapi, wako wapi waliowahi kuishi angani?

Wako walio ishi kwenye madaha?

Je hakuna hata mmoja wao aliyeweza kujificha

Bwana alipomtuma mjumbe kumchukua