Chorus
/s/ { Uzipokee sadaka, ee Bwana Mungu tusikie, Bwana,
Uzipokee kwa wema, ee Bwana Mungu wetun/b/ Uzipokee sadaka, ee Bwana Mungu tusikie
Uzipokee kwa wema Bwana Mungu wetun/a/ Uzipokee sadaka, ee Bwana Mungu tusikie
Uzipokee kwa wema ee Bwana Mungu wetun/t/ Bwana Mungu wetu uzipokee sadaka zetu
Bwana uzipokee ee Bwana Mungu wetu } *2
Verse 2
[ b ] Twakutolea sadaka za ibada yetu
Zikupendeze zitupatie wokovu
Verse 3
Ee Bwana usikilize sala zetu
Tunazokutolea Bwana Mungu wetu
Verse 4
Ututakase kwa nguvu ya sadaka hii
Na tupate maondoleo ya dhambi zetu