Chorus
{ Uwe nasi Mama yetu Maria,nutushike mkono wanao } *2n{ Maisha yetu ni ya wasiwasintunakutegemea wewe Maria utusaidie } *2
Verse 2
Maombezi yako kwa Mungu yanatupa faraja sisi wanao
Mama tuombee
Verse 3
Peke yetu hatutaweza kuzishinda hizo nguvu za shetani
Utusaidie
Verse 4
Tunatamani furaha ya kuungana nawe huko mbinguni,
Mama tuombee