Ninakushukuru ee Mungu Babanna kukusifu ewe mfalme wangu
Kwa sauti kuu tamu na za furahannacheza kwa madaha mbele yako Bwana
Nakushukuru kwa mema yote uliyonitendea mimi maishani mwangu.
Nakukaribisha (mimi) uwe nami Bwana (Yesu)
Uishi na mimi, Bwana daima milele.
Wewe Mungu mwema (kweli) na mwenye fadhili (nyingi)
Umenikubali japo mimi mwenye dhambi.n(Nakushukuru kwa kuniita kwako
Niwe mmoja wako daima milele x2)
Umenipa mwili wako ee Bwananchakula chenye uzima wa milele
Kikombe cha damu yako nimekunywankinywaji safi kinachonitakasa
Sitaona njaa wala kiu mimi maana u ndani ya roho yangu
Nafsi yangu yakutafuta Bwanankama ayala aonavyo kiu ya maji
Usiende mbali na mimi Bwananmaana ndiwe ngao ya maisha yangu
Na nguzo ya uhai wangu, tena wewe Bwana ndiwe tegemeo langu
Ee Bwana unaijua nafsi yangunna siri zote zilizo moyoni mwangu
Umezitakasa doa zangu zotenmimi ni kiumbe kipya mbele yako
Najitoa mimi kwako Bwana unitumie jinsi utakavyo wewe