Utukuzwe

Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus

Utukuzwe, ewe Baba, Mungu, utukuzwe -

Aleluya aa

Kwani Yesu mfufuka ametualika -nutukuzwe x2

Baba Muumba ulimwengu

Aleluya x2

Verse 2

Tumepokea mkate, mazao ya mashamba

Ndiyo alama kwetu, ya wema wako mkuu

Verse 3

Ni tunda la bidii, ya mkono na ya moyo

Jalie iwe kwetu, chakula cha uzima n

Verse 4

Zawadi ya divai, kutoka mizabibu

Ndiyo alama kwetu, ya wema wako mkuu n

Verse 5

Ni tunda la bidii, ya mkono na ya moyo

Jalie iwe kwetu, kinywaji cha kirohon

Verse 6

Sifa kwako ee Mungu, kwa kuotesha mkate

Shukrani kwako Baba, kwa kutulisha sisi

Verse 7

Kwa pendo na fadhili, umetufurahisha

Ukatufkisha kwa sherehe yetu leon

Verse 8

Siku ya leo iwe kwa heshima na sifa

Na utukufu wako na kwa mafaa yako