Verse 1
Utukufu wa msalaba twaadhimu, wanmsalaba wake Yesu, ulio uzima na faharinyetu kwa ishara ya msalaba tuokoen
Verse 2
Utukufu wa msalaba twaadhimu juunyake Bwana Yesu, ametukomboa kwankumwaga damu
Verse 3
Utukufu wa msalaba twaadhimu juu yakenmti huo Yesu alishinda enzi ya shetani
Verse 4
Utukufu wa msalaba twaadhimu chomboncha mateso mengi kugeuka chombo chanushindi mkuu