Chorus
[s] Utukufu kwa Mungu juun[w] Utukufu na amani duniani
Kwa watu wote wenye mapenzi
Kwa watu wote wenye mapenzinmapenzi mema (utukufu) *2
Verse 2
Tunakusifu tunakuheshimu,
Twakuabudu tunakutukuza
Tunakushukuru Mungu kwa ajili,
Ya utukufu wako mkuu
Ee Bwana Mungu, Mfalme wa Mbinguni,
Mu-ngu Baba, Mungu mwenye enzi,
Bwana Yesu Kristu, Mwana wa pekee,
Ee Bwana Mungu, ee Bwana Mungu
Verse 3
Mwanakondoo mwana wake Baba,
Uondoaye dhambi za dunia
Utuhurumie utuhurumie,
Pokea ombi letu ee Baba
Mwenye kuketi kuume kwa Baba,ntuhurumie utuhurumie
Kwa kuwa kwa kuwa, ndiwe peke yako,nmtakatifu mtakatifu
Verse 4
Pekee Bwana mkuu Yesu Kristu,npamoja naye Roho Mtakatifu
Katika katika utukufu wake,
Mu-ngu Baba a-amina.