SectionsEucharistUtukufu (Misa Amecca)

Utukufu (Misa Amecca)

Ordinary TimeEucharist
Verse 1

Utukufu kwa Mungu juu mbinguni

Na amani kote dunianin(Kwa watu) wenye mapenzi mema

Chorus

n|s/a| Tunakusifu Baba, tunakuheshimu,

Twakuabudu sisi tunakutukuzan|t/b| Kusifu tunakusifu, heshimu,

Twakuabudu abudu tunakutukuza

Verse 3

Twakushukuru Mungu kwa ‘tukufu

Wako mkuu ewe Mungu mfalmen(Ee Baba) wa Mbingu Baba yetu

Verse 4

Bwana wetu mwokozi Yesu Kristu

Mwana wa pekee wake Mungun(Uliye) Mwanakondoo wa Mungu

Verse 5

Unayeziondoa dhambi zote

Za dunia utuhurumien(Pokea) pokea ombi letu

Verse 6

Wewe unayeketi kuume

Kwake Baba utuhurumien(Sikia) sikia ombi letu

Verse 7

Kwani pekee yako ndiwe Bwana

Pekee yako mkuu na mkombozin(Pekee) pekee Yesu Kristu

Verse 8

Kwa umoja wa Roho mtakatifu

Ndani yake Baba watukuzwan(Ee Yesu) milele na milele